140. Mahali ni Pazuri

 1. Mahali ni pazuri,

ndugu wanapokaa,
  /: wakipatana vema,
  na wakipendana. :/

2. Kama umande mzuri,
unyweshavyo shamba,
 /: vivyo na Mungu wetu,
 hubariki ndugu. :/

3. Upendano hujenga,
boma zuri kwao,
 /: wakae na amani,
 waliookakoka. :/

4. Na ulimwengu wote,
watiwa nuruni,
 /: halafu kundi moja,
 na mchunga mmoja tu. :/

Comments

Popular posts from this blog

52. Yote namtolea Yesu

85. Ni Mtu wa Simanzi

48. Naweka dhambi zangu