142. Babangu Kule Mbiguni.
1. Babangu kule mbinguni,
aliye juu pa malaika,
/:aangalia njia zangu
na kunilinda maisha.:/
2. Hata unywele kichwani
hauanguki ovyo tu
/: na siri zote za moyoni
zajulikana kwa Baba.:/
3. Zamani nisipojua,
amekwisha kuandika
/:mkononi mwake jina langu,
ndio upedo wake mkuu.:/
4. Ee Baba yangu u mwema,
nami nataka kufanya
/:kama malaika wafanyavyo
mbinguni kwako milele!.:/
Comments
Post a Comment