144. Mbele Ninaendelea

 1. Mbele ninaendelea,

Ninazidi kutembea;
Maombi uyasikie,
Ee Bwana, unipandishe.

  Ee, Bwana, uniinue,
  Kwa imani nisimame;
  Nipande milima yote,
  Ee Bwana,
  Unipandishe.

2. Sina tamani nikae,
Mahali pa shaka, kamwe;
Hapo wengi wanakaa,
Kuendelea naomba
Ee, Bwana…..

3. Nisikae duniani,
Ni mahali pa shetani;
Natazamia mbinguni,
Nitafika na amani.
Ee, Bwana….

Comments

Popular posts from this blog

52. Yote namtolea Yesu

85. Ni Mtu wa Simanzi

48. Naweka dhambi zangu