144. Mbele Ninaendelea
1. Mbele ninaendelea,
Ninazidi kutembea;
Maombi uyasikie,
Ee Bwana, unipandishe.
Ee, Bwana, uniinue,
Kwa imani nisimame;
Nipande milima yote,
Ee Bwana,
Unipandishe.
2. Sina tamani nikae,
Mahali pa shaka, kamwe;
Hapo wengi wanakaa,
Kuendelea naomba
Ee, Bwana…..
3. Nisikae duniani,
Ni mahali pa shetani;
Natazamia mbinguni,
Nitafika na amani.
Ee, Bwana….
Comments
Post a Comment