32. Yesu Awakubali Wakosa


1. Yesu awakubali,
Wakosa, wahalifu,
Wambieni wa mbali
Habari ya wokovu.
          
 Tangazeni kwa bidii,
 “Akubali wakosa!”
 Liwe neno dhahiri,
 “Akubali wakosa!”
          
2. wakubali Bwana
Neno lake amini
Watu kila aina
Waje kwake tengoni.

3. Mimi ni safi moyo
Na mbele ya sharia,
Kwake ilitimia.

4. Akubali wakosa;
Nami anikubali;
Alivyonitakasa
Mbinguni niwasili.

Comments

Popular posts from this blog

52. Yote namtolea Yesu

85. Ni Mtu wa Simanzi

48. Naweka dhambi zangu