33. Dhambi ikikulemea


1. Dhambi ikikulemea,
Kwa Bwana rehema;
Hivi sasa tegemea
Neno la salama.

 Tegemea, tegemea,
 akwita sasa.
 Ni Mwokozi, ni
 Mwokozi; amini sasa.
          
2. Yesu amemwaga damu
Ya nyingi baraka;
Nawe sasa oga mumu
Zioshwamo taka.

3. Ni njia yeye hakika
Hwongoza rahani;
Usikawe kumshika,
Uwe barakani.

4. Karibu nawe wingie
Mwetu safarini,
Twende tukamwamkie,
Milele Mbinguni.

Comments

Popular posts from this blog

52. Yote namtolea Yesu

85. Ni Mtu wa Simanzi

48. Naweka dhambi zangu