42. Kivulini mwa Yesu


1. Kivulini mwa Yesu kuna Kituo:
Kituo mbali na hamu, kituo kilicho tamu.

 Kivulini mwa Yesu kuna kituo;
 Kivulini mwa Yesu kuna kituo;
 Raha tu, mle; amani tupu,
 Furaha tele; kivulini mwa Yesu
 Raha tu, mle; amani tupu,
 Furaha tele; kivulini mwa Yesu.
          
2. Kivulini mwa Yesu nina amani
Iliyopita fahamu, tena itakayodumu.

3. Kivulini mwa Yesu, nina furaha;
Furaha yenye fahari, ya kueneza habari.

Comments

Popular posts from this blog

52. Yote namtolea Yesu

85. Ni Mtu wa Simanzi

48. Naweka dhambi zangu