61. Tumesikia Mbiu

 1. Tumesikia mbiu:

Yesu lo! aponya,
Utangazeni kote,
Yesu, lo! aponya.
Tiini amri hiyo;
Nchini na baharini,
Enezeni mbiu hii;
Yesu , lo! aponya.

2. Imbeni na vitani;
Yesu, lo! aponya;
Kwa nguvu ya kombozi,
Yesu, lo! aponya.
Imbeni wenye shida,
Unapoumwa moyo.
Na karibuni imba;
Yesu, lo! aponya.

3. Mawimbini uenee;
Yesu, lo! Aponya;
Wenye dhambi jueni;
Yesu, lo! Aponya.
Visiwa na viimbe,
Vilindi itikeni,
Na nchi shangilieni;
Yesu, lo! Aponya.

4. Upepo utangaze;
Yesu, lo! Aponya;
Mataifa yashangaaa;
Yesu lo! Aponya.
Milimani, bondeni,
Sauti isikike
Ya wimbo wa ushindi;
Yesu, lo! Aponya.

Comments

Popular posts from this blog

52. Yote namtolea Yesu

85. Ni Mtu wa Simanzi

48. Naweka dhambi zangu